Kupitia tovuti hii unaweza kuomba mkopo wa Tsh. 1,000,000 (Million moja) hadi Tsh. 5,000,000 (Million tano) kiasi cha mkopo tunachokopesha ni Million moja hadi Million tano, hatutoi mkopo chini ya million moja pia hatukopeshi zaidi ya million tano, kiwango unachoweza kuomba na kukopeshwa ni Tsh. 1,000,000 (Million moja) hadi Tsh. 5,000,000 (Million tano) pekee
huu ni mkopo wa dharura hivyo kiwango cha mkopo hakiwezi kuzidi zaidi ya Tsh. 5,000,000 (Million tano) au kupungua chini ya Tsh. 1,000,000 (Million moja).
Iwapo utahitaji mkopo mkubwa zaidi
unatakiwa ufike katika ofisi zetu zilizopo Mikocheni B Barabara ya Rose Garden au fika katika tawi letu lingine lililopo mikocheni kwa warioba jirani na ghorofa za Palm Village, uweze kupata utaratibu zaidi wa kuweza kupata mkopo mkubwa. Kupitia mtandao huu unaweza kuomba mkopo wa Tsh. 1,000,000 (Million moja) hadi Tsh. 5,000,000 (Million tano) tu na ukapatiwa mkopo ndani ya dakika 30.